Wednesday, 16 December 2015

on Leave a Comment

Breaking Newzzz..Vita Juu ya Rushwa Raisi Magufuli Atengua Uteuzi wa Mkurungezi Mkuu wa TAKUKURU


Rais Magufuli amefanya mabadiliko Taasisi ya TAKUKURU na kutengua uteuzi wa aliyekuwa Mkurugenzi wa Taasisi hiyo,
 Dk. Edward Hoseah ambapo kamteua aliyekuwa Naibu Mkurugenzi wa Taasisi hiyo, Valentino Mlowola kukaimu nafasi hiyo.

Taarifa kutoka Ikulu hii hapa ambapo ametangaza pia kuwasimamisha kazi watumishi wawili ambao walisafiri nje ya nchi kinyume na maagizo yake.


0 comments:

Post a Comment