Friday, 18 December 2015

on Leave a Comment

Washitakiwa TRA Waachiwa kwa Dhamana


Mahakama ya hakimu mkazi Kisutu ya jijini Dar es salaam yawaachia kwa dhamana ya shilingi bilioni 2 .1 washitakiwa 3 kati ya 8 wanaotuhumiwa kwa makosa ya hujuma katika ukusanyaji mapato TRA.

0 comments:

Post a Comment