Mahakama ya hakimu mkazi Kisutu ya jijini Dar es salaam yawaachia kwa dhamana ya shilingi bilioni 2 .1 washitakiwa 3 kati ya 8 wanaotuhumiwa kwa makosa ya hujuma katika ukusanyaji mapato TRA.
Friday, 18 December 2015
Washitakiwa TRA Waachiwa kwa Dhamana
Mahakama ya hakimu mkazi Kisutu ya jijini Dar es salaam yawaachia kwa dhamana ya shilingi bilioni 2 .1 washitakiwa 3 kati ya 8 wanaotuhumiwa kwa makosa ya hujuma katika ukusanyaji mapato TRA.
0 comments:
Post a Comment