Tazama video
Wednesday, 16 December 2015
Hofu ya Ugonjwa Wa Homa Ya Nguruwe Mwanza Serikali yatoa Ufafanuzi
Serikali mkoani Mwanza imewatoa hofu wananchi kuhusu ugonjwa wa homa ya nguruwe uliozuka mkoani humo kuwa haina madhara kwa watumiaji na wafugaji wa kitoweo kilichoathiriwa na ugonjwa huo
0 comments:
Post a Comment