Wednesday, 16 December 2015

on Leave a Comment

Hofu ya Ugonjwa Wa Homa Ya Nguruwe Mwanza Serikali yatoa Ufafanuzi

Serikali mkoani Mwanza imewatoa hofu wananchi kuhusu ugonjwa wa homa ya nguruwe uliozuka mkoani humo kuwa haina madhara kwa watumiaji na wafugaji wa kitoweo kilichoathiriwa na ugonjwa huo

Tazama video 


0 comments:

Post a Comment